Header Ads

Hatimaye Diamond na Zari Wamepata Mtoto wa Kiume Leo Tarehe 6 Dec 2016



Ni good news nyingine kwa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye leo December 6 2016 mpenzi wake Zarina Hassan amefanikiwa kujifungua mtoto wake wa pili, Zari na Diamond wamepata mtoto wao wa pili baada ya kupata mtoto wao wa kwanza Tiffah August 2015.

No comments

Powered by Blogger.